Monday, February 11, 2013

KIKAO CHA NEC YA CCM, DODOMA LEO

 Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC kwa kuendelea na semina, leo kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein na Kutoka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (PICHA ZOTE ZA BASHIR NKOROMO@Nkoromo Blog, ukitaka kupata matukio kwa kina basi hebu bonyeza Ukitaka kumuona cheki Richard hebu Bonyeza hapa na Endelea
 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC kwa semina iliyoanza jana, na kuendelea leo kwenye ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Pamoja naye ni Dk. Sheni na Kinana
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa semina hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishauriana jambo na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Zakia Meghji, kabla ya kuanza kikao hicho leo.

4 comments:

Anonymous said...

Whether you're moving a car to Sydney or truck Melbourne,
we will be given a receipt which will include your name and telephone number.
People had told me that I was courier insurance getting a good balance, correct portions and
calories. Older people in the early courier insurance
hours of Monday morning.

Anonymous said...

Wow, that's what I was exploring for, what a stuff! present
here at this blog, thanks admin of this website.

Also visit my webpage ... how to become a certified health and wellness coach

Unknown said...

r9o29v7y79 w7y88o0w69 r6t82q2n23 s3j04r9o27 k0c78i1d66 o2s40k4x00

thaysho said...

w7c44x0k71 f4t18r3f95 s5x91r2o13 x5e20s8m35 s5x91r2o13 x5e20s8m35