Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma hoteli ya Serena Weekend iloisha
Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma maarufu ya Baikoko ya Tanga watu walipagawa si mchezo
Waswahili husema utamu wa ngoma ni uingie ucheze
Haya twende hapa ngoma ya Baikoko ikiwa imekolea
Msanii huyu wa Dar Theatre alitia fora maana yake alijikunja kunja balaa, mara awekama nyoka yaani ni nomaaaa
Enheeeee
Sidhani kama mtu wa kawaida waweza kujikunja namna hiii ni sooo
Kisha ikawa hivi
Hii ilikuwa ni party ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2013 wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam (Picha za NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment