Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma hoteli ya Serena Weekend iloisha
Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma maarufu ya Baikoko ya Tanga watu walipagawa si mchezo
Waswahili husema utamu wa ngoma ni uingie ucheze
Haya twende hapa ngoma ya Baikoko ikiwa imekolea
Msanii huyu wa Dar Theatre alitia fora maana yake alijikunja kunja balaa, mara awekama nyoka yaani ni nomaaaa
Enheeeee
Sidhani kama mtu wa kawaida waweza kujikunja namna hiii ni sooo
Kisha ikawa hivi
Hii ilikuwa ni party ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2013 wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam (Picha za NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya M...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment