Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma hoteli ya Serena Weekend iloisha
Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma maarufu ya Baikoko ya Tanga watu walipagawa si mchezo
Waswahili husema utamu wa ngoma ni uingie ucheze
Haya twende hapa ngoma ya Baikoko ikiwa imekolea
Msanii huyu wa Dar Theatre alitia fora maana yake alijikunja kunja balaa, mara awekama nyoka yaani ni nomaaaa
Enheeeee
Sidhani kama mtu wa kawaida waweza kujikunja namna hiii ni sooo
Kisha ikawa hivi
Hii ilikuwa ni party ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2013 wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam (Picha za NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment