Friday, February 08, 2013

Vijana wa kundi la Dar Theatre wapagawisha NHC Serena

 Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma hoteli ya Serena Weekend iloisha
 Wasanii wa kundi la Dar Theatre wakicheza ngoma maarufu ya Baikoko ya Tanga watu walipagawa si mchezo
 Waswahili husema utamu wa ngoma ni uingie ucheze
 Haya twende hapa ngoma ya Baikoko ikiwa imekolea
 Msanii huyu wa Dar Theatre alitia fora maana yake alijikunja kunja balaa, mara awekama nyoka yaani ni nomaaaa
 Enheeeee
 Sidhani kama mtu wa kawaida waweza kujikunja namna hiii ni sooo
 Kisha ikawa hivi
Hii ilikuwa ni party ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2013 wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam (Picha za NHC)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...