Saturday, February 16, 2013

Seminari Kuu ya Kipalapala




Hivi ndivyo inavyonekana Seminari Kuu ya Kipalapala, Tabora kama inavyoonekana hivi karibuni kama ilivyokutwa na kamera ya mdau wetu, ndipo lilipo chimbuko kuu la maaskofu na mapadri wengi wa Katoliki nchini.

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...