Saturday, February 16, 2013

Seminari Kuu ya Kipalapala




Hivi ndivyo inavyonekana Seminari Kuu ya Kipalapala, Tabora kama inavyoonekana hivi karibuni kama ilivyokutwa na kamera ya mdau wetu, ndipo lilipo chimbuko kuu la maaskofu na mapadri wengi wa Katoliki nchini.

No comments:

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...