Saturday, February 16, 2013

Seminari Kuu ya Kipalapala




Hivi ndivyo inavyonekana Seminari Kuu ya Kipalapala, Tabora kama inavyoonekana hivi karibuni kama ilivyokutwa na kamera ya mdau wetu, ndipo lilipo chimbuko kuu la maaskofu na mapadri wengi wa Katoliki nchini.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...