Friday, February 15, 2013

MAMA SALMA KWENYE MSIMBA WA BABA WA HAWA GHASIA, MTWARA



Mama Salma Kikwete (kulia) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia alipofika nyumbani kwake katika kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara jana kumpa pole kufuatia msiba wa baba yake Mzee Abdulrahman Ghasia, uliotokea jana na kuzika jana hiyo hiyo katika Kijiji cha Naumbu.

 Baadhi ya waombolezaji wakimfariji Waziri Hawa Ghasia
Wananchi wa Naumbu wakiwa eneo la Msiba.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...