Friday, February 15, 2013

MAMA SALMA KWENYE MSIMBA WA BABA WA HAWA GHASIA, MTWARA



Mama Salma Kikwete (kulia) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia alipofika nyumbani kwake katika kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara jana kumpa pole kufuatia msiba wa baba yake Mzee Abdulrahman Ghasia, uliotokea jana na kuzika jana hiyo hiyo katika Kijiji cha Naumbu.

 Baadhi ya waombolezaji wakimfariji Waziri Hawa Ghasia
Wananchi wa Naumbu wakiwa eneo la Msiba.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...