Friday, February 15, 2013

MAMA SALMA KWENYE MSIMBA WA BABA WA HAWA GHASIA, MTWARA



Mama Salma Kikwete (kulia) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia alipofika nyumbani kwake katika kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara jana kumpa pole kufuatia msiba wa baba yake Mzee Abdulrahman Ghasia, uliotokea jana na kuzika jana hiyo hiyo katika Kijiji cha Naumbu.

 Baadhi ya waombolezaji wakimfariji Waziri Hawa Ghasia
Wananchi wa Naumbu wakiwa eneo la Msiba.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...