Tuesday, February 26, 2013

BODI YA UTALII YASAINI MKATABA NA WAANDAAJI WA ONESHO LA UTALII LA INDABA AFRIKA KUSINI, KUANZISHA ONESHO LA SWAHILI TOURISM FAIR NCHINI‏


Guido Ceruti Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd akisaini mkataba huo huku Mh Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania akishuhudia tukio hilo kushoto ni Ian Kaduma Mwanasheria wa TTB.
22
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii…

Guido Ceruti Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd akisaini mkataba huo huku Mh Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania akishuhudia tukio hilo kushoto ni Ian Kaduma Mwanasheria wa TTB.
22
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii Tanzania TTB Balozi Charles Sanga na Zaida Enver Mkurugenzi Mtendaji wa Witch& Wizard Creative (PYT) Ltd wakibadilishana mikataba mara baada ya kusainiwa katikati wanaoshuhudia ni Mh Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania na Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Dk. Aloyce Nzuki.
23 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii Tanzania TTB Balozi Charles Sanga na Zaida Enver Mkurugenzi Mtendaji wa Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd wakionyesha mikataba mara baada ya kusainiwa katikati wanaoshuhudia ni Mh Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania na Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Dk. Aloyce Nzuki.
20
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii Tanzania TTB Balozi Charles Sanga katikati wa tatu kutoka kulia, Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Dk. Aloyce Nzuki kushoto na Zaida Enver Mkurugenzi Mtendaji wa Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd wakisaini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha onesha la Utalii litakalojulikana kwa jina la Swahili Tourism Fair kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam, ambalo kwa mara ya kwanza litafanyika nchini Tanzania kwenye ukumbi huohuo wa Mlimani City Dar es salaam kuanzia Oktoba 2-5 mwaka huu, Wanaoshuhudia tendo hilo la kusainiwa kwa mkataba huo nyuma ni Mh. Thanduyise Hery Chiliza Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania na kulia ni Ian Kaduma Mwanasheria wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Kampuni ya Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd Pia ndiyo inayoandaa maonyesho makubwa ya utalii nchini Afrika Kusini yanayojulikana kama Indaba.
1 
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB DK Aloyce Nzuki akijadili jambo na wakuu wake wa vitengo katikati ni Philip Chitaunga Meneja wa Huduma za Utalii na kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko Bi. Devotha Mdachi.
2 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Utalii Tanzania TTB Balozi Charles Sanga akizungumza na Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Dk. Aloyce Nzuki kabla ya kusainiwa kwa mkataba huo leo katikati ni Meneja Huduma za Utalii Philip Chitaunga na Mkurugenzi wa Masoko Devotha Mdachi.

4 comments:

Anonymous said...

Great blog here! Also your web site loads up fast!
What host are you using? Can I get your affiliate link to your
host? I wish my site loaded up as fast as yours lol

Also visit my website ... search engine optimization uk
Also see my site: search engine optimization for google

Anonymous said...

I read this paragraph completely regarding the resemblance of most recent and preceding technologies, it's awesome article.

My blog post: http://multimedia.stisitelkom.ac.id/read_blog/167312/what-we-all-need-to-understand-health-care-insurance

Anonymous said...

Good day! I could have sworn I've been to this blog before but after checking through some of the post I realized it's new to me.
Anyways, I'm definitely glad I found it and I'll be bookmarking and checking back
frequently!

my web blog - kredit für rentner

Anonymous said...

It's a shame you don't have a donate button!
I'd definitely donate to this excellent blog! I suppose for now i'll settle for book-marking and adding your RSS feed
to my Google account. I look forward to fresh updates
and will share this site with my Facebook group.
Talk soon!

Look at my web site Foreign currency trading online