Tuesday, February 12, 2013

KUNRADHI WADAU WA FULLSHANGWE BLOG


Wadau wetu wa Fullshangweblog mtandao wetu hauko hewani toka jana kutokana na matatizo yaliyojitokeza wataalamu wetu wanafanya kila juhudi ili kutatua tatizo hilo kwa haraka iwezekanavyo tunawaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza wakati huu ambapo tunashughulikia tatizo hilo na wakati wowote tutarudi hewani 

Tunawaomba radhi pia wadau wetu benki za NMB, NBC, kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers, Bayport Financial, NHIF na Wilna International tunaomba uvumilivu wenu wakati tunashughulikia tatizo hilo.
By John Bukuku 
Mkurugenzi.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...