Tuesday, February 12, 2013

KUNRADHI WADAU WA FULLSHANGWE BLOG


Wadau wetu wa Fullshangweblog mtandao wetu hauko hewani toka jana kutokana na matatizo yaliyojitokeza wataalamu wetu wanafanya kila juhudi ili kutatua tatizo hilo kwa haraka iwezekanavyo tunawaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza wakati huu ambapo tunashughulikia tatizo hilo na wakati wowote tutarudi hewani 

Tunawaomba radhi pia wadau wetu benki za NMB, NBC, kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers, Bayport Financial, NHIF na Wilna International tunaomba uvumilivu wenu wakati tunashughulikia tatizo hilo.
By John Bukuku 
Mkurugenzi.

No comments:

SAMIA APEPERUSHA BENDERA YA USHIRIKIANO EAC, AKUTANA NA KATIBU MKUU IKULU CHAMWINO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ...