Thursday, February 07, 2013

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA KWA BAR MBALIMBALI NCHINI KWA MWAKA 2013

 Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kulia) akikata nyama kuashilia uzinduzi wa shindano la Safari Lager Nyama Choma linalotammbulika kwa jina la “Safari Lager Nyama Choma Competition 2013”lililozinduliwa TBL jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Jaji Mkuu wa shindano hilo, Douglass Sakibu.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa shindano la Nyama Choma 2013 kwa Bar mbalimbali lijlikanalo kama ‘’Safari Lager Nyama Choma Competition 2013” liliofanyika TBL jijini Dar es Salaam .Kulia ni Jaji Mkuu wa shindano hilo, Douglass Sakibu na mratibu wa Shindano hilo, Peter Zacharia.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...