Thursday, February 07, 2013

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA KWA BAR MBALIMBALI NCHINI KWA MWAKA 2013

 Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kulia) akikata nyama kuashilia uzinduzi wa shindano la Safari Lager Nyama Choma linalotammbulika kwa jina la “Safari Lager Nyama Choma Competition 2013”lililozinduliwa TBL jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Jaji Mkuu wa shindano hilo, Douglass Sakibu.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa shindano la Nyama Choma 2013 kwa Bar mbalimbali lijlikanalo kama ‘’Safari Lager Nyama Choma Competition 2013” liliofanyika TBL jijini Dar es Salaam .Kulia ni Jaji Mkuu wa shindano hilo, Douglass Sakibu na mratibu wa Shindano hilo, Peter Zacharia.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...