Tuesday, February 26, 2013

PINDA AKUTANA NA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI WA SWEDEN

IMG_0017 
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mdhibiti na Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto)  na Mkaguzi  Mkuu  wa hesabu za Seriklai wa Sweden  Jan Lindahr Hjelmaker.  (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...