Tuesday, February 26, 2013

PINDA AKUTANA NA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI WA SWEDEN

IMG_0017 
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mdhibiti na Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto)  na Mkaguzi  Mkuu  wa hesabu za Seriklai wa Sweden  Jan Lindahr Hjelmaker.  (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...