Wednesday, February 13, 2013

LOWASA, SUMAYE WAMFARIJI MKURUGENZI CRDB DK KIMEI KUFUATIA KIFO CHA MAMA YAKE MZAZI

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwapa pole Dr Kimei(katikati) na dada yake.
Pichani ni Mawaziri wakuu wastaafu Mh Edward Lowassa na Mh Fredrick Sumaye wakijumuika na viongozi wengine katika msiba wa mama yake mkurugenzi mtendaji mkuu wa CRDB, Dr.Charles Kimei mwishoni mwa wiki huko Komakundi Marangu Mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashuhudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Ushirikiano Kati ya Tanzania na Angola

Luanda, Angola – 08 Aprili 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , leo ameshuhudia utiaji saini wa mi...