Sunday, February 10, 2013

Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda Akisakata Rhumba na Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu

Spika wa Bunge laTanzania, Anne Makinda akisakata muziki wa dansi na mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, mwishoni mwa wiki.
 

Spika wa Bunge, Anne Makinda akicheza muziki na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu kwenye sherehe za kuuaga na kukaribisha mwaka mpya kwenye Viwanja vya Bunge Dodoma juzi usiku baada ya kuahirisha kikao cha Bunge.Picha na Fidelis Felix

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...