Spika wa Bunge
laTanzania, Anne Makinda akisakata muziki wa dansi na mbunge wa Singida
Mashariki, Tundu Lissu katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, mwishoni
mwa wiki.

Spika wa Bunge, Anne Makinda
akicheza muziki na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu
kwenye sherehe za kuuaga na kukaribisha mwaka mpya kwenye Viwanja vya
Bunge Dodoma juzi usiku baada ya kuahirisha kikao cha Bunge.Picha na Fidelis Felix


No comments:
Post a Comment