Tuesday, February 26, 2013

NMB YAWA SUPER BRAND

1m 
Mkuu wa masoko na mawasiliano wa NMB,Imani Kajula akipokea tuzo ya Super  Brand kutoka kwa Mkurugenzi wa Super Brand East Africa Jawad Jaffer.
……………………………………………..
 Baada ya miaka saba ya uwekezaji endelevu katika kuboresha huduma, masoko na mtandao wa matawi. NMB sasa inazaidi ya matawi 148, ATM zaidi ya 500, wateja wanaotumia NMB mobile kupata huduma zaidi ya 800,000 na huduma mbadala  kama intenet banking, kituo cha huduma kwa wateja na POS. Wateja wa NMB sasa wanapata huduma popote walipo bila kuhitajika kwenda kwenye tawi la NMB. Maboresho hayo yameiwezesha NMB kutunukiwa kuwa Super Brand mwaka 2013-2014. NMB imekua namba moja katika sekta ya benki.
2m 
Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Mark Wiessing akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group, Joseph Kussaga (Kulia) na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NMB Imani Kajula.
3B 
Baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa NMB wakiwa na tuzo ya Super Brand 2013-2014.

No comments: