Tuesday, February 19, 2013

Lowassa akabidhi Bajaji nne maalum kwa kubebea mizigo zenye thamani ya shilingi millioni 50

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa amekabidhi pikipiki nne za miguu mitatu maarufu kama Bajaji ambazo ni maalum kwa kubebea mizigo zenye thamani ya kiasi cha shilingi millioni 50,kwa umoja wa vijana wilaya ya Monduli ili kuwasaidia vijana waliokuwa wakikakabiliwa na tatizo la Ajira.Pichani ni Mh. Lowassa akikabidhi funguo za pikipiki hizo kwa mmoja wa viongozi wa matawi ya vijana wilayani hapo,ambao walifika nyumbani kwake Ngarash Monduli kwa ajili ya kupokea pikipiki hizo.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...