Thursday, February 28, 2013

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, Azungumza na Dk Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuzungumza na Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuzungumza na  Rais leo.

No comments: