Mwenyekiti wa Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, Azungumza na Dk Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Al Youseif Sheikh
Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuzungumza na
Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein, akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Al Youseif Sheikh
Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuzungumza na
Rais leo.
No comments:
Post a Comment