Thursday, February 28, 2013

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, Azungumza na Dk Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuzungumza na Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif, alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuzungumza na  Rais leo.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...