Tuesday, February 12, 2013

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK. SEIF RASHID AZINDUA HUDUMA YA MAWASILIANO BURE KWA WAHUDUMU WA AFYA NA MADAKTARI NCHINI


 
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Rashid (katikati), Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation Bw. Yessaya Mwakifulefule (kulia) Mkurugenzi wa Shirika la Switchboard Ali Block wakionesha mabango ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kuwawezesha wahudumu wa Afya na madaktari kuwasiliana kwa simu za mkononi bure, huduma hiyo inatolewa na  Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Switchboard ili kurahisisha huduma za kiafya mahosipitalini. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.…

 
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Rashid (katikati), Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation Bw. Yessaya Mwakifulefule (kulia) Mkurugenzi wa Shirika la Switchboard Ali Block wakionesha mabango ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kuwawezesha wahudumu wa Afya na madaktari kuwasiliana kwa simu za mkononi bure, huduma hiyo inatolewa na  Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Switchboard ili kurahisisha huduma za kiafya mahosipitalini. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.
 
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Rashid (kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation Bw. Yessaya Mwakifulefule (katikati) pamoja na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Bw. Salum Mwalim, wakiteta jambo wakati wa uzinduzi wa mpango wa kuwawezesha wahudumu wa Afya na madaktari kuwasiliana kwa simu za mkononi bure huduma hiyo inatolewa na Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Switchboard  ili kurahisisha huduma za Afya mahosipitalini. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.

No comments: