Wednesday, December 02, 2015

JESHI LA POLISI LA KABIDHI JENGO LA KISASA LA MICHEZO YA TAEKWONDO JIJINI DAR

 Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa jengo la kisasa litakalo tumika kwa ajili ya shughuli za michezo ya Taekwondo, lililofadhiliwa na serikali ya Korea kupitia kwa balozi wake hapa nchini Mh. II Chung, jana katika Chuo cha Taaluma ya Polisi DPA jijini Dar es salaam.
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki, akimkabidhi cheti Bw. Shinyoung Pyeon, wakati wa sherehe za kukabidhi jengo la kisasa la michezo ya Taekwondo lililofadhiliwa na serikali ya Korea kupitia kwa balozi wake hapa nchini Mh. II Chung, jana katika Chuo cha Taaluma ya Polisi DPA jijini Dar es salaam.

 Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki, akiwa katika picha ya pamoja na timu ya taekwondo, mara baada ya ufunguzi wa jengo la michezo lililofadhiliwa na serikali ya Korea, kupitia kwa balozi wake hapa nchini Mh. II Chung. jana katika Chuo cha Taaluma ya Polisi DPA jijini Dar es salaam.

No comments: