Saturday, August 01, 2015

Lowassa arudisha fomu za kuwania urais Chadema

LOWASA (2)
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa  Abdallah Safari (kushoto)  akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Zamani,  Edward Lowassa.
11826015_385630801629524_1277594260338425273_n
Ester Bulaya (wa kwanza kushoto waliovaa fulana) akiwa ukumbini kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama.
LOWASA (4)LOWASA (5)LOWASA (6)LOWASA (7)LOWASA (8)
Wanachama wa Chadema wakimkaribisha Edward Lowassa kwa mabango wakati anarudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama.
LOWASA (10)
LOWASA (13)
Edward Lowassa akiwasili Makao Makuu kurudisha fomu za kuomba kugombea urais ndani ya chama, kushoto kwake ni Alfred Lwakatare, mkuu wa usalama wa chama.
LOWASA (11)LOWASA (12)Baadhi ya wageni waliohudhuria katika tukio la Edward Lowassa la kurudisha fomu ya kugombea urais.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...