Saturday, August 01, 2015

Lowassa arudisha fomu za kuwania urais Chadema

LOWASA (2)
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa  Abdallah Safari (kushoto)  akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Zamani,  Edward Lowassa.
11826015_385630801629524_1277594260338425273_n
Ester Bulaya (wa kwanza kushoto waliovaa fulana) akiwa ukumbini kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama.
LOWASA (4)LOWASA (5)LOWASA (6)LOWASA (7)LOWASA (8)
Wanachama wa Chadema wakimkaribisha Edward Lowassa kwa mabango wakati anarudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama.
LOWASA (10)
LOWASA (13)
Edward Lowassa akiwasili Makao Makuu kurudisha fomu za kuomba kugombea urais ndani ya chama, kushoto kwake ni Alfred Lwakatare, mkuu wa usalama wa chama.
LOWASA (11)LOWASA (12)Baadhi ya wageni waliohudhuria katika tukio la Edward Lowassa la kurudisha fomu ya kugombea urais.

No comments:

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...