Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Finca, Edward Greenwood akizungumza mara baada ya kufutali mwishoni mwa wiki baada ya kujua umhimu wa mwenzi mtukufu wa Ramadhani na kufuturu na waislamu waliofunga.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum akizungumza mara baada ya kufutari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Finca, Edward Greenwood akizungumza na
Sheikh wa Mkoawa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum wakati wakifuturu mwishoni mwa wiki.
Sheikh wa Mkoawa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum wakati wakifuturu mwishoni mwa wiki.
Baadhi wa waumini wa dini ya Kiislam wakifuturu katika mwenzi Mtukufu wa Ramadhani jijini Dar es Salam mwishoni mwa wiki
BENKI ya Finca kwakutambua mchango kwa jamii wanayoihudumia katika mwezi mtukufu wa Ramadhani wammeamua kufuturu na wakazi na wateja wa benki hiyo.
Akizungumza baada yakufuru Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Finca, Edward Greenwood amesema wanatambua umuhimu katika mwezi huu kuwa wanawajibu kufuru na watu iliwaendelee kupata baraka yakuendelea kukua kwa benki hiyo.
Amesema kama benki itaendelea kutoahuduma kwani imekuwa ikikua kwa kasi tangu kuanza kama taasisi yamikopo na kuweza kufikia benki ni kutokana na jamii kutambua mchango wake ambapo imetimiza miaka 18 tangu ilipoanzishwa mwaka 1998.
“Mafanikio haya ya Finca ni kutokana na mchangowenu ,maoni na ushirikiano wenu bilahivyo tusingewezakufika hapa tulipo”amesema Greenwood.
Nae Sheikh wa Mkoawa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum amesema benki imetambua umuhimu katika mwezi mtukufu kwakutoa sehemu yakufuturisha kwakile wanachokipata.
No comments:
Post a Comment