Wageni kutoka Chuo Kikuu cha North-western cha Marekani Dk. Sally Harris na mume wake Paul Harris wakifurahia madini aina ya nikeli kwenye banda la Chuo cha Madini Dodoma (MRI) katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa watembeleaji wa maonesho ya sabasaba akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kupata maelezo katika banda la Chuo cha Madini Dodoma (MRI)
Mtaalam katika Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Mkunde Msaky (Kulia, Katikati) akielezea shughuli zinazofanywa na chuo hicho kwa mmoja wa watembeleaji kutoka Ghana.
Mtaalam katika Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Mkunde Msaky (Kulia, Katikati) akionesha na kuelezea kifaa cha kuchorongea mwamba kwa mmoja wa watembeleaji katika banda hilo.
Wakati Mwarika (kushoto) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akisoma kipeperushi kwenye banda la Chuo cha Madini Dodoma (MRI
Makamu Mkuu wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI) (Taaluma) Ramadhan Singano (wa nne kutoka kulia) akitoa maelezo kwa Karoli Michali (kushoto) ambaye ni mmoja wa watembeleaji wa maonesho ya Sabasaba kwenye banda hilo.
Washiriki wa maonesho ya kimataifa ya Sabasaba kutoka Chuo cha Madini Dodoma (MRI) wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kutoa huduma kwa wateja.
No comments:
Post a Comment