MWENYEKITI UWT TAIFA AENDELEA NA KAMPENI MBARALI
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbarali Pirmo Hamed kushoto akiongea jambo wakati Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba alipokuwa akimnadi mgombea huyo.
Katikati ni Mwenyekiti wa UWT Taifa Sophia Simba na kulia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbarali wakati wa mkutano wa hadhara.
No comments:
Post a Comment