Sunday, October 11, 2015

MWENYEKITI UWT TAIFA AENDELEA NA KAMPENI MBARALI

1Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbarali Pirmo Hamed kushoto akiongea jambo wakati Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba alipokuwa akimnadi mgombea huyo.

2Katikati ni Mwenyekiti wa UWT  Taifa Sophia Simba na kulia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbarali wakati wa mkutano wa hadhara.

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...