Wednesday, January 28, 2026

DKT. MWIGULU AKUTANA NA FREDERICK SUMAYE

 


Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 28, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...