Sunday, July 05, 2015

PINDA AALIKWA FUTARI YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI WA DAR ES SLAM NA MWANZA

IMGL4212 ;Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda   akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMGL4222
IMGL4252
IMGL4204
Mke wa Waziri Mkuu , Mama   Tunu Pinda wapili kulia) akizungumza na baadhi ya wnawake walioshiriki katika  futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amani ya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alikuwa mgeni rasmi katika futari hiyo. Viongozi wa Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza pia walialikwa katika futari hiyo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMGL4227
Baadhi ya washiriki wa futari iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya viongozi wa dini wa mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es slaan Julai 3, 2013ambapo mgemoi rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Viongozi wa kamati ya Amani ya mkoa wa Mwanza pia walialikwa kwenye futari hiyo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments: