Monday, July 06, 2015

AIRTEL FURSA "TUAKUWEZESHA"


Mariam awezeshwa kufikia ndoto zake kupitia Airtel Fursa "Tunakuwezesha"
Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakao wawezesha kuimarisha biashara zao.
Bofya hapa: goo.gl/ECdVkc na wewe ukamate fursa na Airtel

No comments: