Tuesday, March 24, 2015

TBL YATOA MSAADA WA MABATI, SARUJI KWA WAATHIRIKA WA JANGA LA MVUA KAHAMA

 Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya watu waliopatwa na janga la  mvua ya mawe  katika  kata ya Mwakata  ambae ni mkuu wa wilaya ya Kahama,  Benson Mpesya  wa katikati akipokea msaada wa vifaa vya ujenzi  mabati 176  na mifuko ya saruji 130  vilivyotolewa na kampuni ya bia  ya TBL  kulia anayekabidhi ni  meneja mauzo na usabazaji Godwin Zakaria na kushoto ni mjumbe wa kamati Patrick Kalangwa ambae ni mkurugenzi wa halmashauri ya Msalala lengo la msaada huo ni kuunga mkono ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kuwajengea nyumba wahanga hao.
 Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya watu waliopatwa na janga la  mvua ya mawe  katika  kata ya Mwakata  ambae ni mkuu wa wilaya ya Kahama,  Benson Mpesya  wa katikati akipokea msaada wa vifaa vya ujenzi  mabati 176  na mifuko ya saruji 130  vilivyotolewa na kampuni ya bia  ya TBL  kulia anayekabidhi ni  meneja mauzo na usabazaji Godwin Zakaria na kushoto ni mjumbe wa kamati Patrick Kalangwa ambae ni mkurugenzi wa halmashauri ya Msalala lengo la msaada huo ni kuunga mkono ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kuwajengea nyumba wahanga hao.

 Mkuu wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya  kushoto  ambae ni mwenyekiti wa maafa wa janga la mvua ya mawe lililowapata wananchi wa kata ya Mwakata wilayani Kahama  akipokea msaada wa vifaa vya ujenzi  mabati 176  na mifuko ya saruji  130  toka kampuni ya bia ya TBL , anayekabidhi kulia ni Meneja idara ya mauzo na usambazaji Godwin Zakaria na katikati ni Juma Akida ambae ni meneja mauzo kanda ya ziwa .
Wananchi wa kijiji cha Mwakata wilayani Kahama wakishusha msaada wa mabati yaliyotolewa na kampuni ya bia tanzania TBL kwa lengo la kuunga mkono ahadi ya Rais Jakaya Kikwete  ya kuwajengea nyumba wahanga wa kata hiyo walioathiriwa na mvua ya mawe ambako  kampuni hiyo imetoa mabati 176 na mifuko ya saruji 130 .

No comments: