Tuesday, March 31, 2015

KONGAMANO LA WANACHAMA WA VIKOBA LAFANYIKA ARUSHA

unnamed11
Sehemu ya umati wa wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa  bima ya Afya  (NHIF).Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni “Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli.
unnamed22
Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa  bima ya Afya  (NHIF)wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfukohuo.Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni “Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli”.

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MPYA WA UHISPANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 6 Agosti 2025, amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...