Saturday, March 07, 2015

JK AZINDUA RASMI AZAM TV


RAis Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mmiliki wa Azam TV ambayo ni kundi la makampuni ya SS Bkhresa, Said Salim Bakhresa, (watatu kushoto waliokaa), waziri wa habari, utamaduni, vijana na michezo, Dkt. Fenella Mukangara, (katikati aliyejifunga kitambaa), naibu mkurugenzi wa Azam TV, Tido Muhando, (wakwanza kushoto) na baadhi ya wafanyakazi wa TV hiyo mara baada ya Rais kuizindua rasmi Ijumaa Machi 6, 2015. TV hiyo yenye studio zake, barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam, ni maarufu kwa vipindi vya michezo hususan soka

Rais Kikwete, akiwa ameketi na Mwen yekiti wa makampuni ya SS Bakhresa, Said Salim Bakhresa


Rais akiwa kwenye mahojiano na Naibu Mkurugenzi wa TV hiyo, Tido Muhando


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa fundi mitambo Mkuu wa Azam TV, Mehdoub al Hadad  juu ya namna gari la kurusha matangazo nje ya studio (OB Van) linavyofanya kazi wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara, Mwenyekiti wa SS Bakhresa, Said Salim Bakhresa na wafanyakazi wengine wa TV hiyo


Said Salim Bakhresa, (kushoto), akimpa maelezo Rais Kikwete.
AZA1Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza rasmi kuzinduliwa kwa studio mpya za stesheni ya Azam TV  Tabata Relini jijini Dar es salaam  Machi 6, 2015. Pamoja naye kwenye kilinge cha utangazaji ni mmiliki wa stesheni hiyo Bw. Saidi Salim Bakhressa.(PICHA NA IKULU)
AZA3RAis Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara  pamoja na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV   wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam  Machi 6, 2015. AZA2
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa fundi mitambo Mkuu wa Azam TV Bw. Mehdoub al Hadad  juu ya namna gari la kurusha matangazo nje ya studio (OB Van) linavyofanya kazi wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam  Machi 6, 2015. 
AZA4AZA5Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara  pamoja na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV   wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam Machi 6, 2015. 
AZA8Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakitmbezwa sehemu mbali mbali za Azam TV na mwenyeji wao Bw. Saidi Salim Bakhressa wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam  Machi 6, 2015. 
AZA9Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa na  Bw. Saidi Salim Bakhressa wakati alipohudhuria sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam Machi 6, 2015. 
​PICHA NA IKULU​

2 comments:

obat bius cair said...

We From SEO Milanisti Introduce Herbal Products Sales Men And Women

obat tidur said...

http://alatbantusextermurah.com/obat-tidur-cair-sleeping-beauty.html