Saturday, March 21, 2015

ZITTO KABWE ANG’ATUKA UBUNGE

1Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe (pichani) ametangaza rasmi Bungeni Dodoma kuachia kiti hicho alichokipata kupitia CHADEMA.4Barua yake ya kung’atuka ubunge kupitia chama cha CHADEMA7Mhe.Zitto Kabwe akiongea na waandishi wa Habari usiku wa kuamkia leo mara baada ya Kuwaaga Wabunge Baada ya kuwasomea barua aliyomwandikia Mhe.Spika ya Kung’atuka Ubunge baada ya kuvuliwa Uanachama na chama chake cha CHADEMA

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MPYA WA UHISPANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 6 Agosti 2025, amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...