Tuesday, March 24, 2015

RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU JAJI AGUSTINO RAMADHANI AHUTUBIA MKUTANO WA HAKI ZA BINADAMU

unnamed
Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani Akihutubia  mkutano wa Haki za binadamu uliofanyika juzi  jijini Arusha lengo la kuimarisha haki za binadamu na kushirikisha taasisi binafsi na za serikali katika kuisaidia Mahakama hiyo .
Picha na mahmoud ahmad arusha

No comments:

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...