Tuesday, March 24, 2015

RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU JAJI AGUSTINO RAMADHANI AHUTUBIA MKUTANO WA HAKI ZA BINADAMU

unnamed
Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani Akihutubia  mkutano wa Haki za binadamu uliofanyika juzi  jijini Arusha lengo la kuimarisha haki za binadamu na kushirikisha taasisi binafsi na za serikali katika kuisaidia Mahakama hiyo .
Picha na mahmoud ahmad arusha

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MPYA WA UHISPANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 6 Agosti 2025, amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...