Monday, March 30, 2015

BALOZI MDOGO MPYA INDIA, NA BALOZI MPYA WA OMAN WAKUTANA NA DK.ALI MOHAMED SHEIN IKULU ZANZIBAR

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na Balozi Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha.
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Balozi  Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo baada ya mazungumzo yao aliyefika kujitambulisha,
4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na Balozi Mdogo mpya wa Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,
5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mdogo mpya wa Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,
6
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Balozi  Mdogo mpya wa  Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo baada ya mazungumzo yao aliyefika kujitambulisha,
[Picha na Ikulu.]

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...