Wednesday, March 25, 2015

MEGATRADE INVESTIMENT LTD YAVIPIGA JEKI VILABU VYA DARAJA LA NNE WILAYA YA HAI.


Wafanyakazi wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha wakiwa na viongozi wa Chama cha soka wilaya ya Hai kwa ajili ya kukabidhi msaada wa vifaa vya michezo vilivyotolewa kwa vilabu 10 vinavyoshiriki ligi daraja la nne ngazi ya wilaya .

Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ,kanda ya Kaskazini,Edmund Rutaraka akikabidhi jezi kwa Katibu wa Chama cha soka wilaya ya Hai(HAIDAFA) Cuthbert Mushi huku zoezi hilo likishuhudiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji ya chama hicho Fauzia Lema na Marry Munuo(Mwenye kofia) wengine ni wawakilishi wa mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment kwa mkoa wa Kilimanjaro,Loserian  Laiser na Filbert Furaha.

1 comment:

meeteyez said...

replica bags from china replica gucci bag q7i68a9l05 replica bags in bangkok replica bags sydney you can find out more t1a21p6q44 replica bags online pakistan check n7l90o8m59 cheap designer bags replica replica bags in bangkok