Tuesday, August 12, 2014

WAREMBO REDD'S MISS TEMEKE WAJIFUA VILIVYO RIO GYM & SPA EXTRA

  Rebecca na Neema Mollel wakiendelea na mazoezi hayo
 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd's Miss Temeke, wakifanya mazoezi ya viungo katika ukumbi wa mazoezi wa Rio Gym & Spa Extra Jengo la Golden Jubilee, Dar es Salaam. Mashindano hayo yatafanyika TCC Club, Chang'ombe Agosti 22, mwaka huu.
 Ni mazoezi kwa kwenda mbele.

 Rebecca na Neema Mollel wakiendelea na mazoezi hayo
 Rebecca na Neema Mollel wakiendelea na mazoezi hayo
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AONGOZA HAFALA YA KUAPIKA KAMISHNA MSAIDIZI MPYA

Arusha, Julai 18, 2025 – Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , ameongoza hafla ya kumuapish...