Wednesday, August 13, 2014

MWANALIBENEKE DOTTO KAHINDI NA ELIZABETH NGUMA WAMEREMETA

Baada ya kuwa marafiki kwa zaidi ya miaka minane Dotto Paul Kahindi (Mandolin) na Elizabeth Riziki Morris Nguma, Agosti 9, 2014 Mungu amewajalia kufunga pingu za maisha kwenye kanisa la Katoliki Parokia ya Mt. Francis wa Assis, mjini Biharamulo, Kagera.
Dotto Paul Kahindi (Mandolin) na mkewe Elizabeth Morris Nguma katika pozi muda mfupi baada ya kufunga ndoa kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Francis wa Asis, Biharamulo, Kagera.
Mr&Mrs Dotto na wapambe wao Mr&Mrs Frank katika
pozi muda mfupi baada ya kufunga ndoa kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya
Mt. Francis wa Asis, Biharamulo, Kagera.
Bibi Harusi akiwa na mpambe wake katika
pozi muda mfupi baada ya kufunga ndoa kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya
Mt. Francis wa Asis, Biharamulo, Kagera
Mr&Mrs Dotto, wapambe wao Mr&Mrs Frank, pamoja na wasimamizi wa ndoa hiyo Mr&Mrs Wema Rusasa katika
pozi muda mfupi baada ya kufunga ndoa kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya
Mt. Francis wa Asis, Biharamulo, Kagera
Bibi Harusi na Mameid

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi w...