Tuesday, August 26, 2014

ESTER MATIKU ACHUKUA FOMU KUWANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA


MBUNGE wa viti maalumu(Chadema)Ester Matiku amejitosa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (Bawacha) mkoa wa Mara na kuahidi kushughulikia matatizo  ya Wanawake yanayowakabili katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi na kisiasa.

 
 




 



Habari zaidi subili hivi punde....
SOURCE:SHOMI BINDA

No comments:

RC CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA WAFANYABIASHARA WA MANZESE NA HALMASHAURI YA UBUNGO

Dar es Salaam, Julai 12, 2025 — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, leo amehitimisha mgogoro uliodumu kati ya Jumuiya ya W...