Tuesday, August 26, 2014

ESTER MATIKU ACHUKUA FOMU KUWANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA


MBUNGE wa viti maalumu(Chadema)Ester Matiku amejitosa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (Bawacha) mkoa wa Mara na kuahidi kushughulikia matatizo  ya Wanawake yanayowakabili katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi na kisiasa.

 
 




 



Habari zaidi subili hivi punde....
SOURCE:SHOMI BINDA

No comments: