Tuesday, August 26, 2014

ESTER MATIKU ACHUKUA FOMU KUWANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA


MBUNGE wa viti maalumu(Chadema)Ester Matiku amejitosa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (Bawacha) mkoa wa Mara na kuahidi kushughulikia matatizo  ya Wanawake yanayowakabili katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi na kisiasa.

 
 




 



Habari zaidi subili hivi punde....
SOURCE:SHOMI BINDA

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANIA NA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameelekeza uongozi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha jitih...