Monday, August 18, 2014

SERENGETI FIESTA BUKOBA ILIKUWA MOTO WA KUOTEA MBALI!

01 (5)Msanii wa kundi kijulikanacho kama International, Moses Nyama akiwaongoza wenzake wakati wa onyesho la Serengeti fiesta 2014, lililofanyika jana jioni Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba. Tamasha hilo linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
02 (4)Msanii wa bongo fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz‘, akiwapa mkono baadhi ya mashabiki wake katika tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba . Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
03 (4) Msanii maarufu wa nyimbo za asili, Saida Karoli, akilitawala jukwaa wakati wa onyesho la Serengeti fiesta lililofanyika katika Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
04 (4)Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi. Khamis Kagasheki (kulia), akimpongeza mmoja wa wasanii walioshinda katika Mashindo yaliyojulikana kama dansi la Serengeti fiesta 2014, Joylen Hamis, wakati wa tamasha la serengeti fiesta kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Wa pili ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
05 (2)Msanii wa muziki wa bongo fleva , Barnaba boy akifanya vitu katika onesho la Serengeti fiesta katika uwanja wa kaitaba mjini Bukoba jana jioni.Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
06Umati wa wakazi wa mji wa Bukoba na maeneo ya jirani wakishangilia wakati wasanii wakongwe wa miondoko ya kiasili na kizazi kipya wakitoa burudani katika tamasha la Serengeti fiesta lililofanyika katika Uwanja wa Kaitaba, mjini humo jana jioni. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
07 Mmoja wa wasanii waliong’ara katika tamasha la Serengeti fiesta lililofanyika juzi, Ney wa Mitego akikonga nyoyo za mashabiki katika tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
08 Msanii wa bongo fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz‘, akiimba katika tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.Tamasha hilo  linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.
10Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Mama Zipora Pangani wakati wa tamasha la Serengeti fiesta katika uwanja wa kaitaba mjini Bukoba jana jioni. Tamasha hilo linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya  Serengeti Premium Lager.

No comments: