Wednesday, August 27, 2014

Mkutano Mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU unaofanyika katika ukumbi wa Kuringe.

Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dk Edward Hosea akizummza wakati wa Mkutano wa mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU .
Mkurugenzi wa idara ya elimu TAKUKURU, Marry Mosha akitoa neno la shukurani mara baada ya mgeni rasmi kufungua mkutano huo.








Baadhi ya washiriki katika mkutano huo



Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mkurugenzi wa TAKUKURU Dk Edward Hosea.
Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Kilimanjaro pia walikuwa waalikwa katika mkutano huo.

Dk Hosea akitoa zawadi kwa mgeni rasmi RC ,Gama.
Makundi mbalimbali yakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano huo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

No comments: