Saturday, August 23, 2014

PINDA AWASILI MWANZA

PG4A2735
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  August 22, 2014 ambako August 23, 2014 anatarajiwa kuongoza  harambee  iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

BILIONI 37.7 ZATIKISA TANGA: TARURA YASUKUMA MAPINDUZI YA BARABARA

MAMLAKA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Tanga imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya baraba...