
Wahandisi wa Halmashauri za Wilaya wakiapa mbele ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa watafanya kazi zao kwa uaminifu wakati Waziri Mkuu alipofungua mkutano wa Wadau wa Barabara wa Serikali za Mitaa kwenye hoteli ya Ngurdoto Arusha
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Barabara wa Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye hoteli ya Ngurdoto, Arusha
No comments:
Post a Comment