Tuesday, August 26, 2014

HIVI NDIVYO SALIM ASAS ALIVYOAPISHWA KUWA KAMANDA WA UVCCM MKOA WA IRINGA


Naibu Katibu Mkuu
CCM Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba akimuapisha Salim Asas kuwa Kamanda
wa UVCCM Mkoa wa Iringa, Salim Asas jana



Alipokuwa
akimvalisha gwanda la ukamanda




Katikati ya wazee
wa kimila baaada ya kuapishwa



Dokii na kundi
lake walitoa burudani


Akafuata baba
level


Na Wanne Star
alikuwepo


Makomandoo

Na wasanii wa
Iringa walikuwepo



Meza kuu ilikuwa
na waalikwa mbalimbali


Vijana Jazz
wakaendelea kusherehesha sherehe hizo

Na Francis GodwinBlog

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...