Thursday, August 14, 2014

PINDA AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA

PG4A0074
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akigonganisha glasi na mjukuu wake Nicole katika mkusanyiko mdogo  na mfupi  sana wa kifamilia wa  kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake  kwenye makazi yake  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini `Dodoma August 12, 2014. Wengine pichani ni binti zake, Namsi (kulia) na Yusta. (Picha

No comments:

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AIPONGEZA TANAPA KWA KULINDA MALIASILI NA KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango , ameipongeza kwa dhati Shirika la Hifadhi za Taifa Tanza...