Tuesday, August 12, 2014

Mtaalamu wa sheria na Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) Profesa Bonaventure Rutinwa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Suala la Uraia Katika Kamati Namba tano ya Bunge Maalum la Katiba

Profesa Bonaventure Rutinwa(kulia) ambaye ni mtaalamu wa sheria na pia Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo  Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) akitoa ufafanuzi kuhusu suala la uraia katika Kamati namba tano ya Bunge Maalum la Katiba leo kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hamad Rashid.Picha na  Kamati ya Bunge Maalum la Katiba

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...