Tuesday, August 12, 2014

Mtaalamu wa sheria na Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) Profesa Bonaventure Rutinwa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Suala la Uraia Katika Kamati Namba tano ya Bunge Maalum la Katiba

Profesa Bonaventure Rutinwa(kulia) ambaye ni mtaalamu wa sheria na pia Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo  Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) akitoa ufafanuzi kuhusu suala la uraia katika Kamati namba tano ya Bunge Maalum la Katiba leo kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hamad Rashid.Picha na  Kamati ya Bunge Maalum la Katiba

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AONGOZA HAFALA YA KUAPIKA KAMISHNA MSAIDIZI MPYA

Arusha, Julai 18, 2025 – Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , ameongoza hafla ya kumuapish...