

Profesa Bonaventure Rutinwa(kulia) ambaye ni mtaalamu wa sheria na pia Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) akitoa ufafanuzi kuhusu suala la uraia katika Kamati namba tano ya Bunge Maalum la Katiba leo kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hamad Rashid.Picha na Kamati ya Bunge Maalum la Katiba
No comments:
Post a Comment