Monday, January 04, 2016

MAJALIWA ATEMBELEA NFRA NA UJENZI WA OFISI YA MKURUGEZI PERAMIHO

gam1

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungungua tawi la Benki ya Posta la Songea akiwa katika ziara ya mkoa wa  Ruvuma Januari 4, 2016. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera, Uratibu, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam2
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitazama kadi ya akaunti yake ya Benki ya Posta Tanzania aliyokabidhiwa  baada ya kuifungua alipokuwa akifungua tawi la Benki hiyo la Songea Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam3
Waziri Mkuu, Kassi Majaliwa akiagana na watuishi wa Benki ya Posta, Tawi la Songea baada ya kufungua tawi lao Januari 4, 2016. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam4
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea  akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)
gam6
gam8
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikabidhiwa silaha za jadi na mzee Daniel Gama  baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Maposele  na kukagua ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Peramiho Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam10
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma ya mila ya kabila la Wangoni wakati alipowasili    kwenye kijiji cha Maposele  na kukagua ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Peramiho Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam11
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua ujenzi wa Jego la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gam13
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Maposele wilayani  Peramiho baada ya kukagua ujenzi wa  jingo la Ofisi ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma  Januari 4, 2016. (PIcha na Ofisi a Waziri Mkuu

No comments: