Wednesday, January 27, 2016

AIRTEL YAZINDUA MODEM YA MAJABU WINGLE AMBAYO NI MODEM NA NI WIFI

 Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kulia) na  Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu  kwa pomoja wakionyesha bango la modemu mpya ya Airtel wingle wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja.
 Meneja Uhusiano wa Airtel  Jackson Mmbando (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja. Akishuhudia ni Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu
 Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa  modemu mpya itakayowawezesha wateja wake kufurahia huduma za Intaneti na Wi-Fi kwa pamoja na kuunganisha zaidi  ya vifaa 10 kwa wakati mmoja. 
Mwandishi wa habari wa Star TV, Grace Semfuko akikabithiwa modemu yake ya Airtel Wingle na Afisa wa Airtel kitendo cha huduma za Intaneti, Ndevonaeli Eliakimu mara ya kuibuka mshindi katika raffle  iliyoendeshwa wakati wa uzinduzi. akishuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel  Jackson Mmbando.

No comments:

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...