Thursday, January 21, 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI LEO

Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Dk. Asha Rose Migiro akimhudhurisha Shahada ya Falsafa ya Udaktari ya Heshima, Mwenyekiti wa CC, Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, katika mahafali ya Chuo hicho yaliyofanyika jana, Kampasi ya Kinondoni, Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...