Monday, January 18, 2016

Mkurugenzi viwanja vya ndege afariki akiogelea



Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Suleiman Said amefariki dunia alipokuwa akifanya mazoezi ya kuogelea na wenzake katika bahari ya Hindi.
Mhandisi Suleiman alikuwa na utaratibu wa kuogelea kila siku asubuhi kabla ya kwenda kwenye shughuli zake mbalimbali.
Taratibu za mazishi zinafanyika na atazikwa leo jioni ya ya leo majira ya saa kumi jioni katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es salaam.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...