Monday, January 18, 2016

Mkurugenzi viwanja vya ndege afariki akiogelea



Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Suleiman Said amefariki dunia alipokuwa akifanya mazoezi ya kuogelea na wenzake katika bahari ya Hindi.
Mhandisi Suleiman alikuwa na utaratibu wa kuogelea kila siku asubuhi kabla ya kwenda kwenye shughuli zake mbalimbali.
Taratibu za mazishi zinafanyika na atazikwa leo jioni ya ya leo majira ya saa kumi jioni katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es salaam.

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...