Friday, January 15, 2016

TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015 HAPA

Matokeo ya kidato cha pili yaliyotangazwa na Baraza la mitiani (NACTE) yameonyesha mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Iringa imetoa Shule 10 bora huku shule 10 zilizofanya vibaya zimetokea katika mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara.


No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...