Friday, January 15, 2016

TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015 HAPA

Matokeo ya kidato cha pili yaliyotangazwa na Baraza la mitiani (NACTE) yameonyesha mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Iringa imetoa Shule 10 bora huku shule 10 zilizofanya vibaya zimetokea katika mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara.


No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...