Friday, January 15, 2016

TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015 HAPA

Matokeo ya kidato cha pili yaliyotangazwa na Baraza la mitiani (NACTE) yameonyesha mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Iringa imetoa Shule 10 bora huku shule 10 zilizofanya vibaya zimetokea katika mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara.


No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...