Monday, January 25, 2016

DC KAWAWA ATEMBELEA MRADI WA MAJI

ka1
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Vita Kawawa akisukuma pampu ya maji katika moja ya visima vinavyojengwa na mgodi wa Buzwagi kwa ajili ya wakazi wa kata ya Mwendakulima, wengine ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi Mhandisi Asa Mwaipopo (aliyeinama)  akijiandaa kukinga maji hayo kwa mikono. Aliyesimama kulia kwa DC Kawawa ni Meneja wa Uendelezaji wa mgodi wa Buzwagi, George Mkanza.
ka2
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Vita Kawawa akinywa maji katika moja ya visima vilivyochimbwa na Mgodi wa Buzwagi katika kata ya Mwendakulima ambapo mgodi huo unampango wa kutekeleza miradi kumi na tano ya ujenzi wa visima virefu vya bomba, wanaoshuhudia ni Meneja Uendelezaji wa Mgodi George Mkanza (wa kwanza kushoto) na Diwani wa kata ya Mwendakulima

No comments: