Saturday, January 16, 2016

UNESCO YAAHIDI KUENDELEA KUSAIDIA SEKTA ZA HABARI NA UTAMADUNI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Bibi. Zulmira Rodrigues alipomtembelea ofisini kwake  jijini Dar es Salaam.
BB3
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Bibi. Zulmira Rodrigues (kulia) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
BB1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Bibi. Zulmira Rodrigues (kulia) alipomtembelea ofisini kwake  jijini Dar es Salaam.
BB4
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Bibi. Zulmira Rodrigues (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam. Wengine ni Afisa Habari wa UNESCO Bi. Nancy Kaizirege (mwenye nguo ya dhambarau).
PICHA NA FRANK SHIJA, WHUSM

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...