Monday, October 05, 2015

MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA

  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. (Na Mpigapicha Wetu)
  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. 
 Mjumbe wa Kamati  Kuu ya CCM, Shamsi Vuai Nahodha akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule.
Mjumbe wa Kamati  Kuu ya CCM, Shamsi Vuai Nahodha akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule.
Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za mgombea wa ubunge wa Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...