Mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. (Na Mpigapicha Wetu)
Mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Shamsi Vuai Nahodha akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Shamsi Vuai Nahodha akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule.
Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za mgombea wa ubunge wa Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu.
No comments:
Post a Comment