Wednesday, October 07, 2015

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI ARUSHA

????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi katika
mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.Oktoba 6, 2015.
(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-ARUSHA)
unnamedCunnamedAUmati wa wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao Oktoba 6, 2015.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...