Wednesday, October 07, 2015

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI ARUSHA

????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi katika
mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.Oktoba 6, 2015.
(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-ARUSHA)
unnamedCunnamedAUmati wa wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao Oktoba 6, 2015.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...