Friday, September 11, 2015

NCCR-MAGEUZI WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MWANGA KUMNADI MSUYA

Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akihutubia katika mkutano huo.
Mke wa mgombea Ubunge katika jimbo la Mwanga,Youngsevier  Msuya,Dorcas Youngsevier akizungumza katika mkutano huo.
Baadhi ya viongozi wa chama cha NCCR-Mageuzi wakifuatilia mkutano huo.

No comments: