Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi. |
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akihutubia katika mkutano huo. |
Mke wa mgombea Ubunge katika jimbo la Mwanga,Youngsevier Msuya,Dorcas Youngsevier akizungumza katika mkutano huo. |
Baadhi ya viongozi wa chama cha NCCR-Mageuzi wakifuatilia mkutano huo. |
No comments:
Post a Comment