Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwa amejichora rangi za bendera ya Chama hicho, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi Mpya ya Mabasi, Mbezi Mwisho, Jimbo la Kibamba, Jijini Dar es salaam jana Septemba 7, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi Mgombea wa Ukawa wa Ubunge Jimbo la Kibamba, Mh. John Mnyika, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi Mpya ya Mabasi, Mbezi Mwisho, Jimbo la Kibamba, Jijini Dar es salaam jana Septemba 7, 2015.
Sehemu ya Umati wa wakazi wa Jimbo la Kibamba, Jijini Dar es salaam wakionyesha ishara ya Mabadiliko.
|
No comments:
Post a Comment